Imeandaliwa Chini ya Uongozi wa Mheshimiwa Anthony Peter Mavunde, Waziri wa Madini, Wizara ya Madini ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

calander 25 - 26 OKTOBA 2023

location JNICC, DAR ES SALAAM TANZANIA

KUFUNGUA UWEZO WA BAADAYE WA UCHIMBAJI WA MADINI TANZANIA
IMEUNGWA MKONO NA
Ministry Logo No Endorsed

0 +

WASHIRIKI

0 SQM

MAONENSHO

0 +

WAJUMBE

0 +

MAKAMPUNI YANAYOSHIRIKI KATIKA MAONESHO

0

NCHI
ZILIZOWAKILISHWA

0 +

VIPINDI VYA
MKUTANO

WEKEZA KATIKA UCHIMBAJI MADINI YA TANZANIA

Wizara ya Madini ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ikishirikiana na dmg events na Ocean Business Partners Tanzania, inayofuraha kukutangazia kuwa mkutano unaofuata wa Jukwaa la Madini na Uwekezaji Tanzania utafanyika Dar Es Salaam kuanzia 25 – 26 Oktoba 2023 katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere. Jukwaa hili limeandaliwa chini ya Uongozi wa Muheshimiwa Anthony Peter Mavunde, Waziri wa Madini, pamoja na wawakilishi kutoka ngazi za juu serikalini.

Kauli mbiu ya Jukwaa la Madini na Uwekezaji Tanzania 2023 “Kufungua uwezo wa baadaye wa uchimbaji wa madini Tanzania” kwa mara nyingine tena utawaunganisha wadau watanzania, na wengine kutoka bara la Afrika na kwingineko duniani pamoja na Mawaziri, Wakurugenzi Wakuu, Watunga sera, na viongozi katika tasnia ya madini jijini Dar Es Salaam ili wakutane na kujadili ana kwa ana mikakati ya ushirikiano itakayowezesha kufungua na kusukuma mbele maendeleo makubwa katika sekta hii muhimu.

WATOA MADA WA KIWIZARA, SERIKALI KUU, NA KITASNIA

Hon. Anthony P Mavunde (MP)

Hon. Anthony P Mavunde (MP)

Wizara ya Madini

Wizara ya Madini ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Hon. Ruth Nakanbirwa

Hon. Ruth Nakanbirwa

Waziri wa Nishati na Maendeleo ya Madini

Uganda

Hon. Monica Chang’anamuno, Minister of Mining, Malawi

Hon. Monica Chang’anamuno, Minister of Mining, Malawi

Waziri wa Madini

Malawi

Hon. Ibrahim Uwizeye

Hon. Ibrahim Uwizeye

Minister of Hydraulics, Energy and Mines

Burundi

Kheri Mahimbali

Kheri Mahimbali

Katibu Mkuu

Waziri wa Madini wa Tanzania

Dr. Venance Mwasse

Dr. Venance Mwasse

Mkugenzi Mwendeshaji

STAMICO

Eng. Philbert M. Rweyemamu

Eng. Philbert M. Rweyemamu

Mwenyekiti

Tanzania Chamber of Mines (TMC)

Stephen Mullowney

Stephen Mullowney

Mkurugenzi Mkuu

TRX Gold

Justyn Wood

Justyn Wood

Mkurugenzi Mkuu

Noble Helium

KUHUSU MKUTANO KWA UFUPI

Maonensho

Imevutia zaidi ya washiriki 2,000 kutoka nchini kote Tanzania, Afrika na kwingineko duniani ili kuleta fursa baina ya serikali na wafanyabiashara (G2B) na wafanya biashara baina yao (B2B kwa lengo la kukuza minyororo ya thamani ya madini moja kwa moja kutoka kwenye migodi hadi sokoni.

Mkutano

Kujadili fursa ya Tanzania katika kujenga na kukuza nafasi yake kama kitovu cha biashara ya madini katika Afrika ya Mashariki na kufika duniani kote kutokana na shughuli zake za utafutaji na uchimbaji wa madini huku ikiunga mkono juhudi za kuhamia katika uchumi wa kijani.

Udhamini

Weka kampuni yako katika nafasi nzuri ya kuwa mbia wa wadau wote wanaoshiriki katika biashara ya kimataifa ya madini Tanzania na uwe leo sehemu ya historia ya Jukwaa la Madini na Uwekezaji Tanzania

UJUMBE KUTOKA KWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Samia Suluhu Hassan With Flag (1)

Sasa wakati umewadia tuaongalie bara la Afrika. Sasa wakati umewadia kwa bara la Afrika kuwa chanzo kingine cha nishati. Tuna kila kitu. Iwe ni tunazungumzia Nishati ya kijani, Afrika ina kila kitu, ina madini ya nikeli, ina madini ya kobalti, ina shaba.

Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania

UJUMBE KUTOKA KWA WAZIRI WA MADINI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

PHOTO 2023 09 02 13 18 05 (1)

Ninawakaribisha wadau wote wa sekta ya madini Tanzania, pamoja na wengine kutoka kwingineko Afrika na duniani kote, kushiriki katika Jukwaa la Madini na Uwekezaji Tanzania. Tunatazamia kuweza kupata kusikia maazimio mazito, kufanya mikutano ya baina ya pande mbili na ya wawekezaji, kuonesha fursa za kuanzisha miradi, pamoja na kufanya kazi na wabia wetu wa ndani na nje ili kufungua uwezo wa baadaye wa uchimbaji wa madini Tanzania. Ni matarajio yetu kuwa tutakutana sote Dar Es Salaam kwani Tanzania hivi sasa ipo katika nafasi ya juu kabisa katika kuvutia uwekezaji kutoka nje.

Mh. Anthony Peter Mavunde

Waziri wa Madini,
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

IMEHIDHINISHWA NA

MDHAMINI WA ALMASI

MDHAMINI WA DHAHABU

WADHAMINI WA FEDHA

WADHAMINI WA SHABA NYEUSI

MSHIRIKA WA TEHAMA

IMEANDALIWA NA